بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمن الرَّحيم
Kwa Jina La Mwenyezi Mungu Mwingi Wa Rehema (Duniani) Mwenye Kurehemu (Akhera)
Hakika sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu, tunamsifu, tunamuomba msaada na tunamuomba maghfirah, tunamuomba Atuhifadhi na shari za nafsi zetu, na maovu ya matendo yetu. Anayemuongoza Mwenyezi Mungu hapana wa kumpoteza, na Anayempoteza, hapana wa wa kumuongoza. Nakiri kwamba, hapana apasaye kuabudiwa ila Mwenyezi Mungu, hali ya kuwa peke Yake, hana mshirika, na ninakiri kwamba Muhammad ni mja Wake na ni Mtume Wake. Mwenyezi Mungu Amrehemu na Awarehemu jamaa zake na Maswahaba zake na wanaowafuata hao kwa wema mpaka siku ya malipo na Amsalimishe kwa amani nyingi.
Baada ya yaliyotangulia huu ni ufupi (Mukhtasar) wa kitabu kiitwacho “HISWN AL-MUSLIM MIN ADHKAAR AL-KITAAB WA SUNNAH”
Ninamuomba Mwenyezi Mungu kwa majina Yake mazuri, na sifa Zake zilizo juu, Ajaaliye kazi hii kuwa, imesafika lengo lake, kwa kutaka radhi zake Mwenyezi Mungu Mtukufu, na Aninufaishe kwa hayo katika uhai wangu huu, na baada ya kufa, na Amnufaishe atakayekisoma, kukichapisha, au aliyekuwa ni sababu ya kukitawanya, hakika Yeye Mwenyezi Mungu Ndiye Muweza.
Mwenyezi Mungu Amrehemu Mtume wetu Muhammad صلى الله عليه وسلم na Aali zake na Maswahaba wake na wanaowafuata hao, kwa wema mpaka siku ya malipo.بسم الله الرحمن الرحيم
Im Namen Allahs, des Gnädigen (World) des Barmherzigen (unten)
Wahrlich, alles Lob gebührt Allah, wir preisen wir Hilfe gesucht, und wir bitten maghfirah, bitten wir Atuhifadhi vor dem Übel unserer Seelen und den Übeln unserer Handlungen. Anayemuongoza Allah gibt es keine Verlierer, und Anayempoteza, keiner von der Führung. Ich gebe zu, dass es keinen Gott außer Allah apasaye, Stand der allein zu sein, keinen Partner, und ich gestehe, dass Muhammad Sein Diener und Sein Gesandter. Allah segne und Liebe zu zeigen, um seine Familie und seine Gefährten und diejenigen, die ihnen im Guten gefolgt, bis zum Tag des Gerichts und Amsalimishe ruhigsten.
Nach diesem Prolog ist kurz (Auszug) des Buches "HISWN AL-MIN MOSLEMISCHE Adhkar Kitab al-Sunnah"
Ninamuomba Allah durch Seine Namen angenehm, und sein Lob von oben, Ajaaliye arbeiten dies sein wird, imesafika sein Ziel, für das Vergnügen des allmächtigen Gottes, des Allmächtigen, und Aninufaishe mit ihm in meinem Leben, das, und nach seinem Tod, und Amnufaishe gelesen, kukichapisha , oder wer die Ursache für kukitawanya war, wahrlich, Er ist Allah, der mächtig.
Allah segne unseren Propheten Muhammad صلى الله عليه وسلم und seine Aal und seine Gefährten und diejenigen, die ihnen folgten, um Himmels bis zum Tag des Jüngsten Gerichts.